The United Nations High Commissioner for Refugees (UNHCR), along with its humanitarian partners, today launched a $ 157 million fundraising drive to help more than a quarter of a million people affected by Boko Haram attacks in the basin. lake Chad.
Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya, amezindua mkakati wa kushughulikia zahma ya kibinadamu mwaka huu wa 2018 nchini Libya.
Uwekezaji wa kimataifa wa moja kwa moja toka nje (FDI) uliporomoka kwa asilimia 16 mwaka 2017 na kufikia dola trition 1.52 kutoak dola trilioni 1.81 mwaka 2016, imesema leo ripoti ya mwenendo wa uwekezaji kimataifa iliyotolewa na kamati ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo na biashara UNCTAD.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali mauaji ya waandamanaji huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akisema kitendo hicho hakikubaliki.
Uwekezaji wa kimataifa wa moja kwa moja toka nje (FDI) uliporomoka kwa asilimia 16 mwaka 2017 na kufikia dola trition 1.52 kutoak dola trilioni 1.81 mwaka 2016, imesema leo ripoti ya mwenendo wa uwekezaji kimataifa iliyotolewa na kamati ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo na biashara UNCTAD.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali mauaji ya waandamanaji huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akisema kitendo hicho hakikubaliki.