Kilimo cha mpunga chainua wakulima Tanzania
Kilimo cha mpunga kimebadilisha maisha ya wakulima nchini Tanzania hususani mkoa wa Mbeya ambapo mafunzo kutoka kwa wataalamu wa afya ni sababu moja wapo ya kuongeza mazao.
Ungana na Alex Punte wa redio washirika Kyela Fm ya Mbeya nchini humo katika makala ifuatayo.