Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Malala atembelea kambi ya wakimbizi wa Syria

Malala atembelea kambi ya wakimbizi wa Syria

Huku mzozo wa Syria ukiendelea, wananchi wanakimbilia nchini jirani kutafuta hifadhi. Mmjoa ya nchi hizo ni Jordan ambako wakimbizi wanawasili kwa mamia. wengi wamesikia kuhusu mzozo na masaibu wanayokumbana nayo wakimbizi na pia kuna baadhi ya watu ambao wamepata fursa ya kujionea hali halisi mmoja wa shuhuda ni mtoto Malala Yousfzai.

Basi ungana na Grace Kaneiya katika ripoti ifuatayo