Biashara zaimarika Somalia
Barabara za Mogadishu zilijulikana kama hatari zaidi kote duniani, zilkuwa ni mahali ambako kulishudiwa ghasia siku nenda siku rudi lakini nyakati zimebadilika na hali imebadailkia pia kwani sasa biashara zinaweza kuendeshwa hapa basi ili kujua hali ilivyo Mogadishu ungana na Joseph Msami