Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya Albino Tanzania leo: UM wataka hatua zaidi zichukuliwe kuwalinda

Siku ya Albino Tanzania leo: UM wataka hatua zaidi zichukuliwe kuwalinda

Normal

0

false

false

false

MicrosoftInternetExplorer4

st1\:*{behavior:url(#ieooui) }

/* Style Definitions */

table.MsoNormalTable

{mso-style-name:"Table Normal";

mso-tstyle-rowband-size:0;

mso-tstyle-colband-size:0;

mso-style-noshow:yes;

mso-style-parent:"";

mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;

mso-para-margin:0in;

mso-para-margin-bottom:.0001pt;

mso-pagination:widow-orphan;

font-size:10.0pt;

font-family:"Times New Roman";

mso-ansi-language:#0400;

mso-fareast-language:#0400;

mso-bidi-language:#0400;}

Nchini Tanzania leo ni siku ya kitaifa ya Albino ambapo jopo la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametaka mamlaka zote husika kuzuia mauaji ya Albino na uchunguzi wa kina ufanyike dhidi ya watekelezaji wa vitendo hivyo.  Mmoja wa wataalamu hao Juan E Mendez amesema utekelezaji wa vitendo vyovyote vya kikatili hauwezi kuhalalishwa na kwa mujibu wa sheria za kimataifa ni jukumu la serikali kuwapatia albino ulinzi dhidi ya wale wanaotaka kuwakatili. Ametoa kauli hiyo kutokana na kuwepo kwa taarifa za mauaji ya Albino na viungo vyao kutumiwa kwa imani potofu za kishirikina nchini Tanzania na katika baadhi ya nchi barani Afrika. Naye Kishore Singh ambaye amejikita katika  hali ya elimu amesema kuwepo kwa siku ya kitaifa nchini Tanzania ni fursa kubwa ya kumulika tatizo hilo na kuibua mjadala wa madhila yanayowakumba albino nchini humo. Kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania, LHRC hushiriki kuelimisha watu juu ya haki za binadamu ikiwemo ulinzi wa Albino, nimezungumza na Kaimu Mkurugenzi wake Harold Sungusia kufahamu hali iko vipi hivi sasa?

 (SAUTI HAROLD)

 Na nini basi kifanyike ili kudhibiti hali hiyo?

 (SAUTI-HAROLD)