Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya kimataifa ya wahamiaji

Siku ya kimataifa ya wahamiaji

Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Uhamiaji Shirika la kimataifa uhamiaji IOM linasema kwamba ukosefu wa huduma za matibabu kwa wahamiaji ni jambo ya kutisha na ina inahitaji kushughulikiwa kwa dharura .  Jumbe Omari Jumbe wa shirika la IOM anafafanua amezungumza na Radio ya Umoja wa Mataifa.