Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ban ataka hatua zaidi kuchukuliwa kuzuia vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Malaria

Ban ataka hatua zaidi kuchukuliwa kuzuia vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Malaria

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kuwa lengo la kumaliza kabisa vifo vinavyosababishwa na ugonjwa wa Malaria ifikapo mwaka 2015 linaweza tu kutimizwa ikiwa jitihada zaidi zitachukuliwa katika vita dhidi ya ugonjwa huo.