Mchango wa ujasiriamali katika kutimiza malengo ya milenia
Ikiwa imesalia miaka mitano katika kutimiza Malengo ya Maendeleo ya Milenia yaani MDGs, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesisitiza kila nchi kutumia mbinu zote zinazowezekana katika kutimiza haya malengo.