Kongamano kuhusu kuimarisha afya mijini laanza Japan

Kongamano kuhusu kuimarisha afya mijini laanza Japan

Wakati zadi ya nusu ya watu wote duniani wakiishi mijini viongozi kutoka seriali , wasomi , vyombo vya habari na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali wote wamekusanyika kwenye kongamano la Umoja wa Mataifa mjini Kobe nchini Japan kujadili njia za kuimarisha afya kwa wenyeji wa mijini.