Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kongamano kuhusu kuimarisha afya mijini laanza Japan

Kongamano kuhusu kuimarisha afya mijini laanza Japan

Wakati zadi ya nusu ya watu wote duniani wakiishi mijini viongozi kutoka seriali , wasomi , vyombo vya habari na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali wote wamekusanyika kwenye kongamano la Umoja wa Mataifa mjini Kobe nchini Japan kujadili njia za kuimarisha afya kwa wenyeji wa mijini.