Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Miradi ya kilimo katika maeneo ya nyanda za chini yenye matope nchini Liberia yatoa mazao mengi ya kilimo

Miradi ya kilimo katika maeneo ya nyanda za chini yenye matope nchini Liberia yatoa mazao mengi ya kilimo

Ardhi yenye rutuba ya nyanda za chini ya kilimo inayochukua thuluthi tano ya ardhi yote nchini Liberia ni moja ya mpango unaodhaminiwa na jumuia ya ulaya na shirika la mpango wa chakula duniani wa kuliwezesha taifa hilo kujitegemea kwenye zao la mchele na moja ya njia ya kuinua maisha ya jamii zinazotegemea kilimo nchini humo .