Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkutano wa UNCTAD kutoa wito wa kuchukuliwa hatua dhidi ya kuangamia kwa Bayonuai-(Viumbe Hai)

Mkutano wa UNCTAD kutoa wito wa kuchukuliwa hatua dhidi ya kuangamia kwa Bayonuai-(Viumbe Hai)

Zaidi ya watu 500 muhimu kutoka serikali mbalimbali, mashirika ya kimataifa na nyanja ya mitindo na vipodozi watakutana mjini Geneva tarehe 20 na 21 ya mwezi huu wa Januari, ili kutoa wito wa kuchukuliwa kwa hatua madhubuti kuzuia kuangamia kwa viumbe hai duniani.