Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

EU imechangisha Yuro milioni 5.5 kuisaidia UNRWA kuimarisha afya bora kwa wakazi wa Tarafa ya Ghaza

EU imechangisha Yuro milioni 5.5 kuisaidia UNRWA kuimarisha afya bora kwa wakazi wa Tarafa ya Ghaza

Ijumatatu, Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kufadhilia msaada wa Yuro milioni 5.5 kulipa Shirika la UM Linalofarajia Misaada ya Kihali kwa WaFalastina wa Mashariki ya Karibu (UNRWA) uliokusudiwa kuhudumia miradi ya afya na mazingira safi kwenye Tarafa ya Ghaza.