Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ripoti ya FAO yanonyesha bei za chakula zimeanza kupanda tena kwenye soko la kimataifa

Ripoti ya FAO yanonyesha bei za chakula zimeanza kupanda tena kwenye soko la kimataifa

Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) limehadharisha kwenye ripoti iliochapishwa Ijumatano kwamba bei za juu za chakula, zimeanza kupanda tena katika dunia.