Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Brigedia Jenerali George M. Itang'are, Mwambata wa Kijeshi Ubalozi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa (katikati) akiwa ameshikilia moja ya nishani ya Dag Hammarskjöld ambayo walitunukiwa walinda amani wawili wa Tanzania w
Ofisi ya Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa, New York, Marekani.

Mashujaa watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold

Kuelekea siku ya kimataifa ya walinda amani ambayo itaadhimishwa Jumapili hii tarehe 29 Mei, Umoja wa Mataifa umetoa medali kuwatambua na kuwaenzi walinda amani majasiri. Miongoni mwa medali zilizotolewa ni ya Dag Hammarskjoldna kati ya waliotunukiwa ni askari wawili wa Tanzania waliouawa mwaka 2021 wakiwa katika majukumu ya ulinzi wa amani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC.

Sauti
2'27"