Miradi ya FAO na WFP yaboresha maisha ya wananchi Syria
Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la Chakula na Kilimo FAO na la Mpango wa chakula duniani WFP yanasaidia kuinua maisha ya wananchi katika nchi ya Syria kwa kuwapatia miradi mbali mbali ikiwemo ya ufugaji wa kondoo.