Somalia

“Mara kwa mara mmetoa wito wa ushiriki wa wanawake. Lakini tunanaka ninyi muwe makini zaidi kuhusu ni nini mnataka na ni nini mnatarajia. Mmeibua umuhimu wa asilimia 30 kutengwa kwa ajili ya wanawake, halikadhalika suala la sheria mpya kuhusu ukatili wa kingono. kiwango hicho cha asilimia 30 hakikufikiwa, na Sheria ya makosa ya kujamiiana bado haijapitishwa na Bunge.”
Sima Bahous, Mkurugenzi Mtendaji - UNSOM.
Mashirika ya kibinadamu na serikali ya shirikisho ya Somalia wamezindua ombi la dola bilioni 1.08 kwa ajili ya mpango wa misaada ya kibinadamu kwa mwaka 2019.
HABARI ZA UN KUHUSU SOMALIA
Bofia hapa kupata habari za Umoja wa Mataifa kuhusu Somalia.
Grandi alipokutana na wakimbizi wa Somalia nchini Kenya