Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

SOMALIA

Somalia

Mama akiwa ameketi kwenye kaburi lisilo na jina la watoto wake wawili kwenye kambi ya wakimbizi wa ndani ya Dollow nchini Somalia
© UNICEF/Mark Condren

"Kutokana na asili ya tishio la vilipuzi vya kutengeneza, au IED hapa Somalia, ni muhimu kwamba tuendelee kuimarisha uwezo wa vikosi vya usalama vya kitaifa na hasa sasa, tunapofikiria kuhusu kuondolewahatua kwa hatua kwa vikosi vya Muungano wa Afrika, AU."

Ilene Cohn - Mkurugenzi, UNMAS akizungumza mjini Mogadishu, Somalia, Februari 2025

Mashirika ya kibinadamu na serikali ya shirikisho ya Somalia wamezindua ombi la dola bilioni 1.08 kwa ajili ya mpango wa misaada ya kibinadamu kwa mwaka 2019.

HABARI ZA UN KUHUSU SOMALIA

Bofia hapa kupata habari za Umoja wa Mataifa kuhusu Somalia.