Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

SOMALIA

Somalia

Mama akiwa ameketi kwenye kaburi lisilo na jina la watoto wake wawili kwenye kambi ya wakimbizi wa ndani ya Dollow nchini Somalia
© UNICEF/Mark Condren

“Mara kwa mara mmetoa wito wa ushiriki wa wanawake. Lakini tunanaka ninyi muwe makini zaidi kuhusu ni nini mnataka na ni nini mnatarajia. Mmeibua umuhimu wa asilimia 30 kutengwa kwa ajili ya wanawake, halikadhalika suala la sheria mpya kuhusu ukatili wa kingono. kiwango hicho cha asilimia 30 hakikufikiwa, na Sheria ya makosa ya kujamiiana bado haijapitishwa na Bunge.”

Sima Bahous, Mkurugenzi Mtendaji - UNSOM.

Mashirika ya kibinadamu na serikali ya shirikisho ya Somalia wamezindua ombi la dola bilioni 1.08 kwa ajili ya mpango wa misaada ya kibinadamu kwa mwaka 2019.

HABARI ZA UN KUHUSU SOMALIA

Bofia hapa kupata habari za Umoja wa Mataifa kuhusu Somalia.