Somalia
"Kutokana na asili ya tishio la vilipuzi vya kutengeneza, au IED hapa Somalia, ni muhimu kwamba tuendelee kuimarisha uwezo wa vikosi vya usalama vya kitaifa na hasa sasa, tunapofikiria kuhusu kuondolewahatua kwa hatua kwa vikosi vya Muungano wa Afrika, AU."
Ilene Cohn - Mkurugenzi, UNMAS akizungumza mjini Mogadishu, Somalia, Februari 2025
Mashirika ya kibinadamu na serikali ya shirikisho ya Somalia wamezindua ombi la dola bilioni 1.08 kwa ajili ya mpango wa misaada ya kibinadamu kwa mwaka 2019.
HABARI ZA UN KUHUSU SOMALIA
Bofia hapa kupata habari za Umoja wa Mataifa kuhusu Somalia.
Grandi alipokutana na wakimbizi wa Somalia nchini Kenya