29 JUNI 2020
Pakua
Katika Jarida la habari za UN hii leo flora nducha anakuletea
-Umoja wa Mataifa nchini Somalia waipongeza setrikali kwa juhudi kubwa za upimaji na mapambano dhidi ya janga la corona au COVID-19
-Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linalokabiliana na ukimwi UNAIDS Winnie Byanyima amesema huduma za afya kwa wote si biashara bali ni haki ya binadamu ya kila mtu
-Nchini Malawi kutana na baba ambaye ni mfano wa kuigwa na wanaume wengine katika malezi ya watoto kwenye jamii
-Makala yetu leo inatupeleka nchini Kenya kwa shirika linalokabiliana na uchaguzi wa mazingira kwa kukusanya, kuzichakata na kurejeleza taka ngumu
-Na mashinani tunabisha hodi Malawi kwa binti aliyekataa fikra kwamba masomo ya sayansi ni ya wanaume tu
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
12'7"