Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Makala

UNCDF

UNCDF wamenipatia elimu na kuniunganisha na taasisi za kifedha – Mkurugenzi Nabuhima Foods  

Aaron Mwimo kwa jina la utani Joti, ni mmoja wa watu wanaochangia utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa, SDGs kwa kuleta ustawi bora kwa jamii yake wilayani Kibondo, mkoa wa Kigoma nchini Tanzania.  

Bwana Mwimo alianzisha kiwanda kidogo cha kuchakata mazao ya wakulima kama vile mahindi na mihogo na akakipa kiwanda chake kidogo jina Nabuhima Food Supplies akisambaza unga katika mji eneo dogo la mji wa Kibondo hadi pale alipounganishwa na shirika la mitaji la Umoja wa Mataifa.  

Sauti
4'58"
UN News

Mwalimu Neema atengeneza vifaa vya kuwezesha watoto kuelewa anachofundisha.

Hii leo ni siku ya walimu duniani na ujumbe ni ujumbe marekebisho  ya mfumo wa elimu huanza na mwalimu. Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni, UNESCO linasema lengo la ujumbe huo  ni kusherehekea dhima muhimu ya walimu katika uwezo wa wanafunzi kwa kuhakikisha wana vifaa na mbinu zinazowawezesha za kujiwajibikia wao wenyewe na watu wengine.

Audio Duration
3'49"
CIFOR/Axel Fassio

Waandishi wa Habari Tanzania wajengewa uwezo kuhusu umiliki wa ardhi kwa wanawake

Mashirika mbalimbali ya kiraia nchini Tanzania yamezidi kuhamasika kuelimisha Jamii juu ya Haki ya Ardhi kwa wananchi, wanawake nikundi ambalo bado wameendelea kushindwa kumiliki ardhi hivyo inahitajika sauti ya pamoja katika utetezi wa Haki ya kumiliki Ardhi hususan katika mazingira magumu ya umasikini, mila na desturi kandamizi katika baadhi ya jamii.

Audio Duration
4'