Mwambata wa jeshi wa Tanzania nchini atembelea Kikosi cha Tanzania TANBAT 6 wanaohudumu chini ya MINUSCA nchini CAR.
Mwambata jeshi wa Tanzania anayehudumu kazi yake Jamhuri ya Afrika ya kati Brigedia Jenerali Absolomon Lyanga Shausi amefanya ziara ya kutembelea kikosi cha walinda amani wa Tanzania TANBAT6 wanaohudumu chini ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati MIN