Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

25 APRILI 2023

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ikimulika Malaria nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo tarifa ya WHO ya siku ya malaria duniani, wakimbizi wa Sudan na ripoti mpya ya FAO. Mashinani tunakuletea ujube kuhusu maambukizi ya malaria.

Sauti
13'22"