Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwambata wa jeshi wa Tanzania nchini atembelea Kikosi cha Tanzania TANBAT 6 wanaohudumu chini ya MINUSCA nchini CAR.

Mwambata wa jeshi wa Tanzania nchini atembelea Kikosi cha Tanzania TANBAT 6 wanaohudumu chini ya MINUSCA nchini CAR.

Pakua

Mwambata jeshi wa Tanzania anayehudumu kazi yake Jamhuri ya Afrika ya kati Brigedia Jenerali Absolomon Lyanga Shausi amefanya ziara ya kutembelea kikosi cha walinda amani wa Tanzania TANBAT6 wanaohudumu chini ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati MINUSCA ili kujitambilisha tangu kikosi hicho kianze shughuli ya ulinzi wa amani kikipokea majukumu kutoka kwa kikosi cha TANBAT5 mwishoni mwa mwaka.

Kapteni Mwijage Inyoma aliyeko nchini Afrika ya Kati anaeleza zaidi..

Audio Credit
Kapteni Mwijage Inyoma
Audio Duration
2'31"
Photo Credit
TANBAT 6