27 Septemba 2022
Hii leo katika Habari za UN Flora Nducha anakuletea Habari kwa Ufupi, Mada kwa kina na Mashinani.
Hii leo katika Habari za UN Flora Nducha anakuletea Habari kwa Ufupi, Mada kwa kina na Mashinani.
Katika kutekeleza lengo namba 15 la Maendeleo endelevu kuhusu kuimarisha uhai wa viumbe vya nchi kavu Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) kwa kushirikiana na Muungano wa Ulaya, (EU) limezindua mradi wa kuimarisha Huduma za Afya ya Mimea na usalama wa cha
Jumuiya ya kimataifa inapaswa kuangazia zaidi na kwa mwelekeo wa mkataba wa amani Sudan Kusini pamoja na ongezeko la ghasia miongoni mwa jamii nchini kote Sudan Kusini, wameonya wataalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu nchini humo baada ya kuhitimisha ziara yao jijini New York, Marekani
Hii leo kwenye Habari za UN Flora Nducha anaanza na Sudan Kusini ambako wataalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu nchini humo wanataka jamii ya kimataifa itupie jicho la umakini mkataba wa amani wa mwaka 2018 ili uweze kutekelezwa kwa umakini, kwani hivi sasa kuna shaka na shuku ya utekel
Mjadala Mkuu wa mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA77 ukiwa umeingia siku ya nne hii leo, Rais Paul Damiba wa Burkina Faso amesema tayari wamejiwekea mpango mkakati wa kurejesha utulivu nchini mwake wakati huu ambapo anaongoza serikali ya mpito kuanzia kufuatia mapinduzi ya kije
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema watoto wengi na hususan wa kike katika jamii zilizoathirika na ukame nchini Kenya ikiwemo Turkana wako katika hatari hasa ya kuozwa mapema kwa sababu familia nyingi zinahaha kuweka mlo mezani na suluhu ya karibu wanay
Hii leo kwenye Habari za UN, Flora Nducha anaanza na taarifa kutoka ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambako Rais wa mpito nchini Burkina Faso Paul Damiba anaelezea hatua walizochukua kurejesha utulivu nchini mwao.
Leo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili Taifa Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno Mzishi, akisema katika hali ya msiba ndio kuna mzishi. Huyu ni ndugu au jamaa anayeshughulikia mazishi ya mtu.
Hii leo katika Habari za UN Flora Nducha anakuletea mada kwa kina, Habari kwa Ufupi na Neno la Wiki.
Viongozi wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa likiwemo la kuhudumia watoto, UNICEF, la kupambana na UKIMWI, UNAIDS na la kuhudumia wakimbizi UNHCR, kwa kushirikiana na wadau wametoa mawazo yao kuhusu kubadilisha mfumo wa elimu ili uendani na wakati na pia usimwache yeyote nyuma bila kujali