Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

JIFUNZE KISWAHILI : Mzishi

JIFUNZE KISWAHILI : Mzishi

Pakua

Leo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili Taifa Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno Mzishi, akisema katika hali ya msiba ndio kuna mzishi. Huyu ni ndugu au jamaa anayeshughulikia mazishi ya mtu. Mzishi anashughulikia mazishi ya mtu na ni mtu ambaye anaweza kuwa karibu na mtu wakati wa shida na raha.

Audio Credit
Flora Nducha/Onni Sigalla
Audio Duration
52"
Photo Credit
UN