UNHCR na wadau warejesha miundombinu ya umeme Iraq
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesaidia kurejeshwa kwa gridi ya umeme na miradi mingine ya usafi wa mazingira nchini Iraq, ikiwa ni miaka miwli toka kwa kuharibiwa kwa miundo mbinu hiyo kutokana na vita.