Wagonjwa wa Corona duniani sasa wavuka 153,000, Tanzania nayo imo
Wagonjwa wa Corona duniani sasa wavuka 153,000, Tanzania nayo imo
Taarifa hiyo ya watalaamu inakuja katika kipindi ambacho nchi zinachukua hatua mbalimbali kujaribu kudhibiti maambukizi ambayo hadi kufikia sasa yamesababisha vifo 5735 na taarifa za shirika la afya duniani WHO zikionesha kuwa kuna wagonjwa wapya 10,982 duniani kote.
Nchi zikiendelea kutoa mwenendo wa mapambano, Tanzania, nchi iliyoko Afrika Mashariki imetangaza kuwa na mgonjwa wa corona.
Ukurasa kuhusu virusivyacorona & taarifa mpya
Wasomaji wanaweza kupata taarifa na muongozo kuhusu mlipuko wa virusi vya corona (2019-nCoV) kutoka Umoja wa Mataifa, Shirika la afya duniani na mashirika mengine ya UN hapa. Kwa habari mpya kila siku kutoka UN News, bofya hapa.Tangazo limetolewa na Waziri wa Afya wa Tanzania Ummy Mwalimu
(Sauti ya Ummy Mwalimu)
Kisha waziri Ummy anathibitisha matokeo ya uchunguzi baada ya mgonjwa huyo kufanyiwa vipimo vya kitabibu