Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukosefu wa usalama unaweka raia hatarini ya kuambukizwa magonjwa ikiwemo ebola-IOM

Uchunguzi wa virusi vya Ebola kwenye mpaka kati ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo , DRC na Uganda
WHO/Matt Taylor
Uchunguzi wa virusi vya Ebola kwenye mpaka kati ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo , DRC na Uganda

Ukosefu wa usalama unaweka raia hatarini ya kuambukizwa magonjwa ikiwemo ebola-IOM

Afya

Machafuko mapya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC eneo ambalo linajizatiti kukabiliana na mlipuko unaoshuhudiwa wa ebola umesababisha vifo vya takriban watu 160 na kusababisha mamia kufurushwa na hivyo kufanya hali ya sasa kuwa mbaya zaidi katika kukabiliana na dharura ya kiafya.