Ukosefu wa usalama unaweka raia hatarini ya kuambukizwa magonjwa ikiwemo ebola-IOM
Ukosefu wa usalama unaweka raia hatarini ya kuambukizwa magonjwa ikiwemo ebola-IOM
Afya
Machafuko mapya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC eneo ambalo linajizatiti kukabiliana na mlipuko unaoshuhudiwa wa ebola umesababisha vifo vya takriban watu 160 na kusababisha mamia kufurushwa na hivyo kufanya hali ya sasa kuwa mbaya zaidi katika kukabiliana na dharura ya kiafya.