Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Ebola

WHO yaongeza juhudi za kukabiliana na mlipuko wa Ebola nchini Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (Maktaba)
WHO

Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa nchini Congo

Chanjo dhidi ya virusi vya Ebola imeanza kutolewa hii leo kwa wahudumu wa afya pamoja na watu waliokuwa karibu na watu waliothibitishwa kuwa na ugonjwa wa Ebola katika eneo la Bulape ambalo ni kitovu cha ugonjwa huo huko jimboni Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC, limesema leo shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani WHO.

09 SEPTEMBA 2025

-Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea UNGA79yafikia tamati hii leo na kupisha UNGA80  chini ya uongozi wa Rais mpya Annalena Baerbock

-Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyozinduliwa leo imesema matumizi ya kijeshi duniani yalifikia dola trilioni 2.7 mwaka 2024, yakiwa yameongezeka kwa zaidi ya asilimia 9 kutoka mwaka 2023

Sauti
9'58"

26 FEBRUARI 2025

Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu nchini Somalia na huduma zaa faya kwa wakimbizi wajawazito nchini Chad. Makala inatupeleka nchini Kenya na mashinani nchini Uganda, kulikoni?

Sauti
11'13"