Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Licha ya hatua zinazochukuliwa ukatili wa kijinsia bado mtihani Tanzania

Kampeni ya #ZuiaUkatili huko Kigoma nchini Tanzania. Picha: UN Women Tanznaia

Licha ya hatua zinazochukuliwa ukatili wa kijinsia bado mtihani Tanzania

Haki za binadamu

Ukatili wa kijinsia hususan kwa wanawake na watoto unaendelea kutoa changamoto kubwa nchini Tanzania.

Kwa mujibu wa takwimu za wizaya ya afya , maendeleoya jamii , jinsia, wazee na watoto ya nchini Tanzania mwaka 2017 pekee zaidi ya matukio 40,000 ya ukatili wa kijinsia yameripotiwa kama anavyofafanua Dr. Faustin Ndungulie naibu waziri wa wizara hiyo

(DR FAUSTIN )

Ili kutimiza malengo ya maendeleo endelevu SDG’s husuan lengo namba 5 la usawa wa kijinsia ifikapo 2030, Umoja wa Mataifa unaendelea kuzihimiza nchi wanachama kuchukua hatua kuhakikisha ukatili huo unakomeshwa. Je Tanzania inachukua hatua gani

(DR FAUSTINI NDUNGULILE )

Kwa upande wa watoto ambao pia ni waathirika wakubwa wa ukatili huo ,Dr. Ndungulile ametoa rai

(SAUTI YA DR FAUSTIN NDINGULILE )