Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nchi za Afrika zilizo na migogoro ziige mfano wa Liberia: Opande

Njiwa ambao ni alama ya amani wakirushwa nje ya jengo la makao makuu ya UN
UN/maktaba
Njiwa ambao ni alama ya amani wakirushwa nje ya jengo la makao makuu ya UN

Nchi za Afrika zilizo na migogoro ziige mfano wa Liberia: Opande

Amani na Usalama

Nchi za Afrika zilizo katika machafuko na vita vya wenyewe kwa wenyewe zimeshauriwa kufuata nyazo za Liberia ambayo baada ya miongo ya vita na madhila ya hali ya juu sasa inajivunia matunda ya amani. 

Hayo yamesemwa na Jenerali msataafu Daniel Opande  kutoka Kenya, aliyekuwa kamanda wa kwanza wa mpango wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini Liberia UNMIL.

Hata hivyo bwana Opande anasema kupatikana kwa amani Liberia ulikuwa mtihani mkubwa ambao hatimaye kwa msaada wa Umoja wa Mataifa, na ari ya pande zote katika mzozo ya kutaka kumaliza vita, waliushinda mtihani huo na mkataba wa amani ukatiwa saini 2003

Image
Walinda amani nchini Liberia. Picha ya UNMIL/Staton Winter

(SAUTI YA DANIEL OPANDE OPANDE)

Na kwa mantiki hiyo

(SAUTI YA DANIEL OPANDE OPANDE)

Ameongeza kuwa kuna mambo matatu waliyafanya Liberia kuhakikisha amani waliyoikamata haiwaponyoki tena mosi

(SAUTI YA DANIEL OPANDE OPANDE