14 FEBRUARI 2023
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo leo tunakwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kuangazia changamoto za usalama mashariki mwa nchi hiyo hususan jimboni Ituri. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo WHO, watoto katika maeneo ya migogoro na haki za raia nchini Zimbabwe. Mashinani tutasalia hapa makao maku ya Umoja wa Mataifa, kulikoni?