Amani yaimarika maradufu Liberia:UNMIL
Wakati makamanda wa vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa wakiwa wanakutana mjini New York kuwasilisha ripoti zao kuhusu hali ya amani katika nchi husika, mkuu wa kikosi ujumbe wa UM nchini Liberia UNMIL Leonard Kingondi amesema hali ya amani imeimarika nchini humo . Ungana na Joseph Msami