Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mamilioni ya watu waathirika kutokana na ghasia dhidi ya vituo na wahudumu wa afya

Mamilioni ya watu waathirika kutokana na ghasia dhidi ya vituo na wahudumu wa afya

Mashambulizi dhidi ya mawafanyakazi wa afya, vituo na magari ya wagonjwa kwenye maeneo ya vita na machafuko yamewaacha mamilioni ya watu duniani bila huduma muhimu wanayoihitaji. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliyotolewa leo katika mkutano na waandishi wa habari mjini Geneva na kamati ya kimataifa ya chama cha msalaba mwekundu ICRC.

Kwa mujibu wa utafiti huo uliofanywa kwenye nchi 16 duniani maisha ya mamilioni ya watu yanaweza kuokolewa endapo ufikishaji wa huduma za afya kuwa utaheshimiwa zaidi. Utafiti huo pia umebaini cha kusikitisha zaidi idadi kubwa ya watu wanakufa sio kwa mabomu ya barabarani au kupigwa risasi ni kwa sababu magari ya wagonjwa hayawezi kuwafikia kwa wakati muafaka. Hicham Hassan msemaji wa ICRC anasema jamii ya huduma za afya pekee haiwezi kukabiliana na changamoto hii ni jukumu la wadau wote.

(SAUTI YA HICHAM HASSAN)

<!--[endif]-->

MAMILIONI YA WATU WAATHIRIKA KUTOKANA NA GHASIA DHIDI YA VITUO NA WAHUDUMU WA AFYA

Mashambulizi dhidi ya mawafanyakazi wa afya, vituo na magari ya wagonjwa kwenye maeneo ya vita na machafuko yamewaacha mamilioni ya watu duniani bila huduma muhimu wanayoihitaji.

Takwimu hizi ni kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliyotolewa leo katika mktano na waandishi wa habari mjini Geneva na kamati ya kimataifa ya chama cha msalama mwekundu ICRC.

Kwa mujibu wa utafiti ho uliofanywa kwenye nc

MAMILIONI YA WATU WAATHIRIKA KUTOKANA NA GHASIA DHIDI YA VITUO NA WAHUDUMU WA AFYA

Mashambulizi dhidi ya mawafanyakazi wa afya, vituo na magari ya wagonjwa kwenye maeneo ya vita na machafuko yamewaacha mamilioni ya watu duniani bila huduma muhimu wanayoihitaji.

Takwimu hizi ni kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliyotolewa leo katika mktano na waandishi wa habari mjini Geneva na kamati ya kimataifa ya chama cha msalama mwekundu ICRC.

Kwa mujibu wa utafiti ho uliofanywa kwenye nchi 16 duniani maisha ya mamilioni ya watu yanaweza kuokolewa endapo ufikishaji wa huduma za afya kwa utaheshimiwa zaidi. Utafiti huo pia umebaini cha kusikitisha zaidi idadi kubwa ya watu wanakufa sio kwa mabomu ya barabarani au kupigwa risasi ni kwa sababu magari ya wagonjwa hayawezi kuwafikia kwa wakati muafaka. Hicham Hassan msemaji wa ICRC anasema jamii ya huduma za afya pekee haiwezi kkabiliana na changamoto hii ni jukumu la wadau wote.

(SAUTI YA HICHAM HASSAN)

hi 16 duniani maisha ya mamilioni ya watu yanaweza kuokolewa endapo ufikishaji wa huduma za afya kwa utaheshimiwa zaidi. Utafiti huo pia umebaini cha kusikitisha zaidi idadi kubwa ya watu wanakufa sio kwa mabomu ya barabarani au kupigwa risasi ni kwa sababu magari ya wagonjwa hayawezi kuwafikia kwa wakati muafaka. Hicham Hassan msemaji wa ICRC anasema jamii ya huduma za afya pekee haiwezi kkabiliana na changamoto hii ni jukumu la wadau wote.

(SAUTI YA HICHAM HASSAN)