Uchafuzi wa kimazingira kutokana na kemikali kusababisha athari kubwa
Kiwango kikubwa cha kemikali ya fosforas kinachotumiwa kama mbolea muhimu na kinachohitajika sana katika ukuaji wa binadamu kimekuwa kinapotea na kumwagwa mabarini kutokana na ufundi mdogo katika kilimo na kukosa kuejiuza maji machafu kama mbolea.