Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Niger inahitaji msaada wa dharura kutokana na mafuriko: OCHA

Niger inahitaji msaada wa dharura kutokana na mafuriko: OCHA

Idara ya Kuratibu Huduma za Dharura za Umoja wa Mataifa OCHA imetoa wito kwa wafadhili na mashirika ya misaada kupeleka kwa haraka sana vifaa vya kuwapatia watu hifadhi, mablanketi na vyandarua vya kujikinga na umbu, wakati mvua nyingi zina wasababisha watu kuhama huko Niger kutokana na mafuriko makubwa.

(SAUTI YA TRAORE)