Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mazungumzo kuhusu Mkataba wa Kimataifa juu ya Haki za Mtoto (Sehemu ya Pili)

Mazungumzo kuhusu Mkataba wa Kimataifa juu ya Haki za Mtoto (Sehemu ya Pili)

Kwenye makala ya awali, ya mfululizo wa vipindi vya sehemu mbili kuhusu Mkataba wa Haki za Mtoto, makala iliotangazwa hapo jana, tulikupatieni mahojiano baina ya mwanafunzi wa kidato cha pili, kutoka Kenya, Millicent Atieno Odondo,

Sikiliza makala kamili ya kipindi kwenye idhaa ya mtandao.