Natija za ubora wa hewa zitasailiwa kwenye Mkutano wa Sayansi ya Angahewa utakaofanyika Korea Kusini
Shirika la UM juu ya Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO) limearifu ya kuwa kikao cha kumi na tano cha Kamisheni juu ya Sayansi ya Angahewa, kitaanzisha mijadala maalumu mnamo siku ya Ijumatano, katika Korea Kusini.