Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Malaria Kenya imepunguzwa na mchanganyiko wa tiba mpya

Malaria Kenya imepunguzwa na mchanganyiko wa tiba mpya

Taarifa ya jarida linalochapishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) liliotolewa kwa mwezi Septemba, limebainisha ya kuwa tiba mpya iliovumbuliwa, ya mchanganyiko, ina uwezo wa kupunguza kwa kiwango kikubwa hatari ya maambukizo ya malaria kwa watoto wadogo.