Ripoti mpya ya UM inatathminia athari ya vikwazo kwa umma katika Tarafa ya Ghaza
Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imewasilisha ripoti mpya juu ya hali katika eneo la WaFalastina liliokaliwa la Tarafa ya Ghaza, yenye mada isemayo "Wamo Kifungoni: Athari za Kiutu za Vikwazo vya Miaka Miwili kwenye Tarafa ya Ghaza".