UNICEF imeripoti kushtushwa na tatizo la utapiamlo hatari linalosumbua watoto wa JAK
Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limetoa taarifa yenye kuelezea kushtushwa na muongezeko wa tatizo la utapiamlo hatari, tatizo linaoendelea kukithiri miongoni mwa watoto wadogo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (JAK).