Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nabarro ahadhirisha, afya isiotunzwa ya mifugo huathiri wanadamu kwa mapana na marefu

Nabarro ahadhirisha, afya isiotunzwa ya mifugo huathiri wanadamu kwa mapana na marefu

Mratibu wa Mradi wa UM Kupambana na Homa za Mafua na Mzozo wa Chakula Duniani, Dktr David Nabarro, amenakiliwa akihadharisha, kutokea Vienna, Austria ya kwamba afya ya mifugo ni muhimu sana katika kudumisha maisha bora kwa wanadamu.