Madhara ya matumizi ya bidhaa za tumbaku
Matumizi ya bidhaa za tumbaku kwa mfano uvutaji wa sigara una madahara chungu nzima kiafya amabayo hupelekea madhara yanayo mgharimu hela nyingi katika kutafuta matibabu mtu anyetumia bidhaa hizo basi katika makala ifuatayo Salim Chiro wa radio washirika pwani fm anaangazia swala hilo ungana naye.