Mafunzo kwa jeshi, ishara ya kuimarika kwa nchi: Somalia
Wakati taifa la Somalia likiwa linajimarisha katika nyanja mbalimbali ujenzi wa taifa hilo unahusisha sekta ya ulinzi ambapo mkakati wa hivi karibuni zaidi ni mafunzo kwa jeshi hilo mafunzo yanayofanywa chini ya uratibu wa vikosi vya muungano wa Afrika nchini Somalia AMISOM.
Ungana na Joseph Msami katika ripoti ifuatayo