Sola yawaangazia wananchi wa Bulisa Uganda
Pakua
[caption id="attachment_322565" align="aligncenter" width="615"]02makalasolauganda
Upatikanaji wa nishati ya umeme barani Afrika limekuwa tatizo sugu kwa miongo mingi kutokana na gharama ya kumudu mitambo ya kuzalisha umeme au uwezo wa wananchi wa kawaida kumudu gharama za mihamala ya umeme.
Kutipita teknolojia ya sasa ya nishati ya jua au sola watu wameweza kuzalisha umeme wa gharama nafuu utokanao na mionzi ya jua. Huko Uganda wananchi wa wilaya ya Bulisa hawakutaka kuachwa nyuma , sasa wameweza kufaidika kwa kuzalisha umeme wa kupitia teknolojia hiyo ya sola . Mwandishi wetu John kibego alifunga safari hadi wilayani Bulisa kushuhudia mwenyewe, Ungana naye katika makala hii..