Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkutano wa UNEA 6umekuwa fursa kubwa kwangu – Mfugaji kutoka Tanzania

Mkutano wa UNEA 6umekuwa fursa kubwa kwangu – Mfugaji kutoka Tanzania

Pakua

Mkutano wa 6 WA Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa UNEA 6 umefunga pazia leo jijini Nairobi, Kenya baada ya siku 5 za majadiliano na shughuli mbalimbali zilizohusisha zaidi ya waj umbe 7,000 kutoka Nchi 182 Wanachama wa Umoja wa Mataifa. Afisa habari wa kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa jijini Nairobi UNIS, Stella Vuzo amekuwa akizungumza na washiriki mbalimbali kuhusu walivyonufaika na mkutano huo na hapa ni mmoja wao kutoka jamii za wafugaji ambao duniani kote mabadiliko ya tabianchi yanawaathiri moja kwa moja.

Audio Credit
Anold Kayanda/Stella Vuzo
Audio Duration
2'14"
Photo Credit
UN News/Stella Vuzo