Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO yasema mazalia mapya ya nzige yaongeza hatari Pembe ya Afrika

FAO yasema mazalia mapya ya nzige yaongeza hatari Pembe ya Afrika

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, leo limeonya kwamba kuna tishio kubwa la kutokuwa na uhakika wa chakula na maisha kwenye pembe ya Afrika kutokana na mlipuko wa nzige na mazalia mapya ya wadudu hao hatari.

Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Audio Duration
1'54"
Photo Credit
Photo: FAO/Carl de Souza