Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukame waathiri usafiri wa majini kupitia Ziwa Albert Uganda

Ukame waathiri usafiri wa majini kupitia Ziwa Albert Uganda

Pakua

Mabadiliko ya tabianchi ni dhahiri katika masuala mbalimbali ikiwemo huko nchini Uganda ambako mwaka huu nchi hiyo ya Afrika Mashariki ni miongoni mwa nchi ambazo zimekabiliwa na ukame wa muda mrefu.

Kando na kusababisha njaa katika nchi za Afrika Mashariki pia moja ya athari ni kupungua kwa kiwango cha maji katika Ziwa Albert tangu Machi kulikokwamisha usafiri wa majini.Basi ungana na John Kibego katika makala hii inayokupa taswira ya hali ilivyo kwa sasa.

Photo Credit
Wavuvi wa Uganda wakiwa kwenye boti zao ziwani Albert. Picha: UNHCR / M. Sibiloni