Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi wa UNDP umewapa ujasiri sambamba na kuwawezesha wanawake wa Kimasaai

Mradi wa UNDP umewapa ujasiri sambamba na kuwawezesha wanawake wa Kimasaai

Pakua

Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP nchini Kenya kwa ushirikiano na serikali ya nchi hiyo wameanzisha mradi kwa ajili ya kuwezesha jamii zinazoishi kusini magharibi mwa Kenya karibu na mbuga ya wanyama ya Amboseli. Miradi hiyo inayolenga jamii za watu wa asili hususan Wamasaai inanuia kuwawezesha wanawake sio tu kiuchumi lakini pia kijamii. Basi kwa undani wa makala hii ungana na Grace Kaneiya.

Photo Credit
Picha: UNDP/Kenya_Video capture