Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tanzania na harakati za kuimarisha huduma ya haki kwa wananchi

Tanzania na harakati za kuimarisha huduma ya haki kwa wananchi

Pakua

Upatikanaji wa haki na amani kwa wote ni lengo namba 16 katika malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa, SDGs.

Umoja wa Mataifa umetambua kwamba vyombo vya sheria viko katika hatari kubwa ya kukumbwa na ufisadi, na Tanzania imeweka mikakati ya kukabiliana na suala hili ana kwa ana. Ni kwa mantiki hiyo ambapo Tanzania imeweka kipaumbele kukarabati upya sekta ya haki kwa kusambaza huduma kote nchini, ili kuwafikia wale ambao kwa muda hawajapata huduma hiyo.

Basi ungana na Grace Kaneiya kwa undani zaidi, katika makala hii.

Photo Credit
Mahaka kuu nchini Tanzania. Picha: UM/Video capture