Wakimbizi wa maziwa makuu Tanzania waanza warejea nyumbani
Wakati dunia hii leo inaadhimisha siku ya wakimbizi ambako kunasisitizwa kuepusha madhira yanayoweza kuzalisha watu wa jamii hiyo, idadi kubwa ya wakimbizi kutoka eneo la maziwa makuu sasa wameanza kurejea nyumbani baada ya kuwa uhamishoni kwa kipindi kirefu