Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakimbizi wa maziwa makuu Tanzania waanza warejea nyumbani

Wakimbizi wa maziwa makuu Tanzania waanza warejea nyumbani

Pakua

Wakati dunia hii leo inaadhimisha siku ya wakimbizi ambako kunasisitizwa kuepusha madhira yanayoweza kuzalisha watu wa jamii hiyo, idadi kubwa ya wakimbizi kutoka eneo la maziwa makuu sasa wameanza kurejea nyumbani baada ya kuwa uhamishoni kwa kipindi kirefu

Huko nchini Tanzania ambako kwa miaka kadhaa sasa imekuwa ikihifadhi wakimbizi kutoka nchi za Burundi,Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na Somalia ripoti zinaonyesha kuanza kupungua kwa idadi ya wakimbizi hao walikubali kurejea makwao.

Kutoka Dar es salaam George Njogoa anaripoti zaidi

(RIPOTI YA GEORGE NJOGOPA)