Wanaoishi katika makazi duni wanahitaji mnepo dhidi ya mabadiliko ya tabianchi:UN-HABITAT
Mamilioni ya watu wanaoishi katika mitaa ya mabanda au makazi dunia kote duniani wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo miundombinu mibovu, ukosefu wa maji safi na salama n ahata hali mbaya ya Maisha lakini kubwa zaidi kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la makazi duniani UN-HABITAT ni k